Mwanzo 19:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+ 25 Kwa hiyo akayaangamiza majiji hayo, naam, wilaya yote, pamoja na wakaaji wote wa majiji hayo na mimea yote.+ Maombolezo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Adhabu* ya binti ya watu wangu ni kubwa kuliko adhabu iliyotolewa kwa sababu ya dhambi ya Sodoma,+Lililopinduliwa haraka, na hakukuwa na mtu wa kulisaidia.*+ 2 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu, aliyahukumu+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu kuhusu mambo yatakayokuja.+
24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+ 25 Kwa hiyo akayaangamiza majiji hayo, naam, wilaya yote, pamoja na wakaaji wote wa majiji hayo na mimea yote.+
6 Adhabu* ya binti ya watu wangu ni kubwa kuliko adhabu iliyotolewa kwa sababu ya dhambi ya Sodoma,+Lililopinduliwa haraka, na hakukuwa na mtu wa kulisaidia.*+
6 Na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu, aliyahukumu+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu kuhusu mambo yatakayokuja.+