Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova atawatuma maadui wenu wawashambulie, nanyi mtawatumikia+ mkiwa na njaa+ na kiu na uchi na mkiwa maskini kabisa.* Ataweka nira ya chuma kwenye shingo zenu mpaka atakapokuwa amewaangamiza.

  • Yeremia 17:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova anasema hivi:

      “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+

      Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+

      Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.

       6 Atakuwa kama mti ulio peke yake jangwani.

      Hataona mema yatakapokuja,

      Lakini atakaa mahali pakavu nyikani,

      Katika nchi yenye chumvi ambayo hakuna mtu anayeweza kuishi ndani yake.

  • Yeremia 52:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mfalme wa Babiloni aliwapiga na kuwaangamiza huko Ribla+ katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda wakapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki