4 Ndipo Yona akaingia jijini, akatembea safari ya siku moja akitangaza hivi: “Bado siku 40 tu, jiji la Ninawi litaangamizwa.”
5 Watu wa Ninawi wakamwamini Mungu,+ nao wakatangaza watu wafunge na kuvaa magunia, kuanzia aliye mkubwa zaidi hadi aliye mdogo zaidi.