Yeremia 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mimi mwenyewe nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu, kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mwingi.+ Ezekieli 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nitatenda kwa ghadhabu. Jicho langu halitasikitika; wala sitawahurumia.+ Hata wakilia kwa sauti kubwa masikioni mwangu, sitawasikia.”+
5 Na mimi mwenyewe nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu, kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mwingi.+
18 Basi nitatenda kwa ghadhabu. Jicho langu halitasikitika; wala sitawahurumia.+ Hata wakilia kwa sauti kubwa masikioni mwangu, sitawasikia.”+