Mambo ya Walawi 27:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila sehemu ya kumi ya mifugo na ya kundi, yaani, kila mnyama wa kumi anayepita* chini ya fimbo ya mchungaji atakuwa mtakatifu kwa Yehova. Ezekieli 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Kuwahusu ninyi kondoo wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Niko karibu kuhukumu kati ya kondoo mmoja na kondoo mwingine, kati ya kondoo dume na mbuzi dume.+
32 Kila sehemu ya kumi ya mifugo na ya kundi, yaani, kila mnyama wa kumi anayepita* chini ya fimbo ya mchungaji atakuwa mtakatifu kwa Yehova.
17 “‘Kuwahusu ninyi kondoo wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Niko karibu kuhukumu kati ya kondoo mmoja na kondoo mwingine, kati ya kondoo dume na mbuzi dume.+