-
Ezekieli 7:15-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Upanga uko nje,+ na ugonjwa hatari na njaa kali zimo ndani. Yeyote aliye uwanjani atakufa kwa upanga, na njaa kali na ugonjwa hatari vitawameza wale walio jijini.+ 16 Watu wao watakaofanikiwa kuponyoka wataenda milimani, na kama njiwa wa mabondeni, kila mmoja ataomboleza kwa sababu ya kosa lake.+ 17 Mikono yao yote italegea, na magoti yao yote yatadondosha maji.*+
-