37 “Sasa mimi, Nebukadneza, ninamsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu anaweza kuwaaibisha wale wanaotembea katika kiburi.”+
24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+