Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:18-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova ataondoa umaridadi wa bangili zao,

      Tepe za kichwani na mapambo yenye umbo la mwezi mwandamo,+

      19 Herini,* vikuku, na shela,

      20 Vitambaa vya kichwani, mafurungu, na mavazi ya kifuani,*

      Chupa za marashi* na hirizi,*

      21 Pete za vidole na pete za puani,

      22 Kanzu za sherehe, kanzu fupi za nje, majoho, na mikoba,

      23 Vioo vya mkononi+ na mavazi ya kitani,*

      Vilemba na shela.

  • Yeremia 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa kwa kuwa umeangamizwa, utafanya nini?

      Ulikuwa ukivaa nguo nyekundu,

      Ukijipamba kwa mapambo ya dhahabu,

      Na kupanua macho yako kwa kuyapaka rangi nyeusi.*

      Lakini ulijirembesha bure,+

      Kwa maana waliokutamani wamekukataa;

      Sasa wanataka kukuua.+

  • Ezekieli 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nitakutia mikononi mwao, nao watavibomoa vilima vyako, na mahali pako pa juu patabomolewa;+ nao watakuvua mavazi yako+ na kuchukua vito vyako* maridadi+ na kukuacha uchi, bila chochote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki