-
Isaya 3:18-23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Siku hiyo Yehova ataondoa umaridadi wa bangili zao,
Tepe za kichwani na mapambo yenye umbo la mwezi mwandamo,+
20 Vitambaa vya kichwani, mafurungu, na mavazi ya kifuani,*
21 Pete za vidole na pete za puani,
22 Kanzu za sherehe, kanzu fupi za nje, majoho, na mikoba,
23 Vioo vya mkononi+ na mavazi ya kitani,*
Vilemba na shela.
-