2 Mambo ya Nyakati 36:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakuu wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakitenda mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, nao wakaichafua nyumba ya Yehova+ aliyokuwa ameitakasa Yerusalemu. Ezekieli 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndani yako kuna wachongezi wanaokusudia kumwaga damu.+ Ndani yako wanakula dhabihu milimani na kuendeleza mwenendo mchafu ndani yako.+
14 Wakuu wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakitenda mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, nao wakaichafua nyumba ya Yehova+ aliyokuwa ameitakasa Yerusalemu.
9 Ndani yako kuna wachongezi wanaokusudia kumwaga damu.+ Ndani yako wanakula dhabihu milimani na kuendeleza mwenendo mchafu ndani yako.+