Kumbukumbu la Torati 28:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Watu wengine watapewa wana wako na mabinti wako+ huku ukitazama, na sikuzote utatamani kuwaona, lakini mikono yako haitakuwa na nguvu za kufanya chochote. Yeremia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazama, nitawaadhibu.* Vijana watakufa kwa upanga,+ na wana wao na mabinti wao watakufa kwa njaa kali.+
32 Watu wengine watapewa wana wako na mabinti wako+ huku ukitazama, na sikuzote utatamani kuwaona, lakini mikono yako haitakuwa na nguvu za kufanya chochote.
22 kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazama, nitawaadhibu.* Vijana watakufa kwa upanga,+ na wana wao na mabinti wao watakufa kwa njaa kali.+