4 Wataziharibu kuta za Tiro na kuibomoa minara yake,+ nami nitakwangua udongo na kumfanya awe mwamba ulio wazi, unaong’aa. 5 Atakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokotwa katikati ya bahari.’+
“‘Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘naye ataporwa na mataifa.