8 Wakaaji wa Sidoni na Arvadi+ walikuwa wapiga makasia wako.
Watu wako mwenyewe wenye ustadi, Ee Tiro, walikuwa mabaharia wako.+
9 Wanaume wa Gebali+ wenye uzoefu na ustadi waliziba nyufa zako kwa kalafati.+
Meli zote za baharini na wanamaji wake walikuja kwako kubadilishana bidhaa.