8 Je, wewe ni bora kuliko jiji la No-amoni,+ lililoketi kando ya mifereji ya Nile?+
Maji yalilizunguka;
Utajiri wake ulikuwa bahari na ukuta wake ulikuwa bahari.
9 Nchi ya Ethiopia ilikuwa chanzo cha nguvu zake zisizo na mipaka, pia Misri.
Putu+ na Walibya walikusaidia.+