Ezekieli 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitakuacha jangwani, wewe na samaki wote wa mto wako Nile. Utaanguka uwanjani, nawe hutakusanywa wala kuokotwa.+ Nitakufanya uwe chakula cha wanyama wa mwituni wa dunia na ndege wa angani.+ Ezekieli 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitakuacha nchini; Nitakutupa uwanjani. Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako, Nami nitawashibisha wanyama wa mwituni wa dunia nzima kwa nyama yako.+
5 Nitakuacha jangwani, wewe na samaki wote wa mto wako Nile. Utaanguka uwanjani, nawe hutakusanywa wala kuokotwa.+ Nitakufanya uwe chakula cha wanyama wa mwituni wa dunia na ndege wa angani.+
4 Nitakuacha nchini; Nitakutupa uwanjani. Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako, Nami nitawashibisha wanyama wa mwituni wa dunia nzima kwa nyama yako.+