13 Ulisema moyoni mwako, ‘Nitapanda juu mbinguni.+
Nitakiinua kiti changu cha ufalme juu ya nyota za Mungu,+
Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,
Katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+
14 Nitaenda juu ya mawingu;
Nitajifananisha na Aliye Juu Zaidi.’