Danieli 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, mfalme aliagiza wapewe kila siku vyakula bora ambavyo yeye mwenyewe alikula na divai ambayo alikunywa. Walipaswa kuzoezwa* kwa miaka mitatu, na baada ya muda huo wangeanza kumtumikia mfalme.
5 Pia, mfalme aliagiza wapewe kila siku vyakula bora ambavyo yeye mwenyewe alikula na divai ambayo alikunywa. Walipaswa kuzoezwa* kwa miaka mitatu, na baada ya muda huo wangeanza kumtumikia mfalme.