Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha waandishi wa mfalme+ wakaitwa siku ya 13 ya mwezi wa kwanza. Wakaandika+ maagizo yote ya Hamani kwa maliwali wa mfalme, magavana wa mikoa,* na wakuu wa vikundi mbalimbali vya watu, kila mkoa* kwa mwandiko wake wenyewe* na kila kikundi cha watu kwa lugha yao wenyewe. Maagizo hayo yaliandikwa katika jina la Mfalme Ahasuero na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme.+

  • Esta 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Aliandika agizo hilo katika jina la Mfalme Ahasuero na kulitia muhuri kwa pete ya mfalme,+ kisha akatuma barua za agizo hilo kupitia wajumbe walioendesha farasi; farasi hao wenye mbio walitumiwa kusafirisha barua, nao walizalishwa kwa ajili ya utumishi wa mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki