Zaburi 104:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Nafsi yangu na imsifu Yehova.+ Ee Yehova Mungu wangu, wewe ni mkuu sana.+ Umevaa utukufu* na fahari.+ 2 Umejifunika nuru+ kama vazi;Unazitandaza mbingu kama kitambaa cha hema.+
104 Nafsi yangu na imsifu Yehova.+ Ee Yehova Mungu wangu, wewe ni mkuu sana.+ Umevaa utukufu* na fahari.+ 2 Umejifunika nuru+ kama vazi;Unazitandaza mbingu kama kitambaa cha hema.+