21 naam, nilipokuwa bado nikisali, mwanamume Gabrieli,+ niliyekuwa nimemwona awali katika maono,+ alinijia nilipokuwa nimechoka kwelikweli karibu wakati ambao zawadi ya jioni hutolewa. 22 Naye akanipa uelewaji akisema:
“Ee Danieli, sasa nimekuja kukupa ufahamu na uelewaji.