-
Danieli 2:48, 49Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
48 Kisha mfalme akampandisha cheo Danieli na kumpa zawadi nyingi bora, naye akamfanya kuwa mtawala wa mkoa wote wa* Babiloni+ na msimamizi mkuu wa wanaume wote wenye hekima wa Babiloni. 49 Na kwa ombi la Danieli, mfalme akawaweka Shadraki, Meshaki, na Abednego+ kuwa wakuu wa usimamizi wa mkoa wa* Babiloni, lakini Danieli alifanya kazi katika makao ya mfalme.
-