Yeremia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+ Ufunuo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+
9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+
17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+