Danieli 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku 21. Lakini Mikaeli,*+ mmoja wa wakuu wenye vyeo vya juu zaidi,* akaja kunisaidia; nami nikabaki huko kando ya wafalme wa Uajemi.
13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku 21. Lakini Mikaeli,*+ mmoja wa wakuu wenye vyeo vya juu zaidi,* akaja kunisaidia; nami nikabaki huko kando ya wafalme wa Uajemi.