Danieli 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa sababu ya uasi, jeshi likatiwa mikononi mwa pembe hiyo, pamoja na ile dhabihu inayotolewa daima,* nayo iliendelea kuutupa ukweli duniani, ikatenda na kufanikiwa.
12 Na kwa sababu ya uasi, jeshi likatiwa mikononi mwa pembe hiyo, pamoja na ile dhabihu inayotolewa daima,* nayo iliendelea kuutupa ukweli duniani, ikatenda na kufanikiwa.