-
Hosea 10:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+
Watu wake wataiombolezea,
Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,
Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.
6 Itapelekwa Ashuru kama zawadi kwa mfalme mkuu.+
Waefraimu wataaibishwa,
Na Waisraeli wataaibika kwa sababu ya ushauri waliofuata.+
-