Waroma 9:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+ 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’”+ 2 Wakorintho 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova,* Mweza Yote.”
25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+ 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’”+