Isaya 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova. Hosea 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Waefraimu walipoona ugonjwa wao, na watu wa Yuda kidonda chao,Waefraimu walienda Ashuru+ na kutuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya,Wala hakuweza kuponya kidonda chenu.
31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova.
13 Waefraimu walipoona ugonjwa wao, na watu wa Yuda kidonda chao,Waefraimu walienda Ashuru+ na kutuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya,Wala hakuweza kuponya kidonda chenu.