Ezekieli 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘“Nitawatayarishia shamba maarufu,* nao hawatakufa tena kwa njaa kali nchini,+ na hawatafedheheshwa tena na mataifa.+ Ezekieli 36:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ‘Sitaruhusu tena utukanwe na mataifa au udhihakiwe na watu,+ nawe hutafanya tena mataifa yako yakwazike,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
29 “‘“Nitawatayarishia shamba maarufu,* nao hawatakufa tena kwa njaa kali nchini,+ na hawatafedheheshwa tena na mataifa.+
15 ‘Sitaruhusu tena utukanwe na mataifa au udhihakiwe na watu,+ nawe hutafanya tena mataifa yako yakwazike,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”