Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa;+

      Usifedheheke, kwa maana hutakatishwa tamaa.

      Kwa maana utaisahau aibu ya ujana wako,

      Nawe hutaikumbuka tena fedheha ya ujane wako.”

  • Isaya 60:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;

      Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,

      Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,

      Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+

  • Mika 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usishangilie juu yangu, ewe adui yangu.*

      Ingawa nimeanguka, nitasimama;

      Ingawa ninakaa gizani, Yehova atakuwa nuru yangu.

  • Sefania 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+

      Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+

  • Sefania 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tazama! Wakati huo nitawachukulia hatua wote wanaokukandamiza;+

      Nami nitamwokoa yule anayechechemea,+

      Nitawakusanya pamoja waliotawanyika.+

      Nitawafanya kuwa kitu cha sifa na umaarufu*

      Katika kila nchi ambamo waliaibishwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki