Isaya 5:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ole wao wanaokokota hatia yao kwa kamba za udanganyifuNa dhambi yao kwa kamba za gari la kukokotwa;19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;Na ije upesi ili tuione. Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizweIli tulijue!”+
18 Ole wao wanaokokota hatia yao kwa kamba za udanganyifuNa dhambi yao kwa kamba za gari la kukokotwa;19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;Na ije upesi ili tuione. Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizweIli tulijue!”+