5 “Aha! Mwashuru,+
Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+
Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
6 Nitamtuma yeye dhidi ya taifa lililoasi imani,+
Dhidi ya watu walionikasirisha,
Nitamwamuru achukue nyara nyingi na kupora mali nyingi
Na kuzikanyaga kama matope barabarani.+