Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tena Mungu akamwambia Musa:

      “Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaambia Waisraeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu milele,+ na hivyo ndivyo ninavyopaswa kukumbukwa kizazi baada ya kizazi.

  • Amosi 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana tazama! yeye Ndiye aliyeumba milima+ na kuumba upepo;+

      Humwambia mwanadamu mawazo Yake,

      Hubadili mapambazuko kuwa giza,+

      Naye hukanyaga vilele vya dunia;+

      Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.”

  • Amosi 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yule aliyeumba kundi la nyota la Kima* na kundi la nyota la Kesili,*+

      Yule anayebadili kivuli kizito kuwa asubuhi,

      Yule anayefanya mchana uwe na giza kama usiku,+

      Yule anayeyaita maji ya bahari

      Ili ayamwage kwenye nchi kavu+

      —Yehova ndilo jina lake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki