Kutoka 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tena Mungu akamwambia Musa: “Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaambia Waisraeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu milele,+ na hivyo ndivyo ninavyopaswa kukumbukwa kizazi baada ya kizazi. Amosi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana tazama! yeye Ndiye aliyeumba milima+ na kuumba upepo;+Humwambia mwanadamu mawazo Yake,Hubadili mapambazuko kuwa giza,+Naye hukanyaga vilele vya dunia;+Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.” Amosi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yule aliyeumba kundi la nyota la Kima* na kundi la nyota la Kesili,*+Yule anayebadili kivuli kizito kuwa asubuhi,Yule anayefanya mchana uwe na giza kama usiku,+Yule anayeyaita maji ya bahariIli ayamwage kwenye nchi kavu+—Yehova ndilo jina lake.
15 Tena Mungu akamwambia Musa: “Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaambia Waisraeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu milele,+ na hivyo ndivyo ninavyopaswa kukumbukwa kizazi baada ya kizazi.
13 Kwa maana tazama! yeye Ndiye aliyeumba milima+ na kuumba upepo;+Humwambia mwanadamu mawazo Yake,Hubadili mapambazuko kuwa giza,+Naye hukanyaga vilele vya dunia;+Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.”
8 Yule aliyeumba kundi la nyota la Kima* na kundi la nyota la Kesili,*+Yule anayebadili kivuli kizito kuwa asubuhi,Yule anayefanya mchana uwe na giza kama usiku,+Yule anayeyaita maji ya bahariIli ayamwage kwenye nchi kavu+—Yehova ndilo jina lake.