Zaburi 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mungu wa miungu, Yehova,*+ amesema;Anaiita duniaKutoka mapambazuko ya jua mpaka machweo yake.* Zaburi 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anaziita mbingu zilizo juu na pia dunia,+Ili awahukumu watu wake:+ Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni, enyi mbingu, na usikilize, ewe dunia,+Kwa maana Yehova amesema: “Nimelea wana wakakua,+Lakini wameniasi.+
2 Sikieni, enyi mbingu, na usikilize, ewe dunia,+Kwa maana Yehova amesema: “Nimelea wana wakakua,+Lakini wameniasi.+