-
Isaya 10:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, anasema: “Msiogope, watu wangu mnaokaa Sayuni, kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na kuinua gongo lake dhidi yenu kama Misri ilivyofanya.+ 25 Kwa maana kwa muda mfupi sana shutuma itafika mwisho; hasira yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.+
-