15 Hili ndilo jiji lenye kiburi lililokuwa likikaa kwa usalama,
Lililokuwa likisema moyoni mwake, ‘Mimi ndiye, na hakuna mwingine yeyote.’
Jinsi ambavyo limekuwa kitu chenye kutisha,
Mahali ambapo wanyama wa mwituni wanalala!
Kila mtu anayepita karibu nalo atapiga mluzi na kutikisa ngumi yake.”+