Isaya 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nchi inaomboleza* na kunyauka kabisa. Lebanoni imeaibika;+ imeoza. Sharoni imekuwa kama jangwa,Na Bashani na Karmeli zinapukutisha majani yake.+ Amosi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alisema: “Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Naye atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Malisho ya wachungaji yataomboleza,Na kilele cha Karmeli kitakauka.”+
9 Nchi inaomboleza* na kunyauka kabisa. Lebanoni imeaibika;+ imeoza. Sharoni imekuwa kama jangwa,Na Bashani na Karmeli zinapukutisha majani yake.+
2 Alisema: “Yehova atanguruma kutoka Sayuni,Naye atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu. Malisho ya wachungaji yataomboleza,Na kilele cha Karmeli kitakauka.”+