Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alisema hivi:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akawaangazia kutoka Seiri.

      Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Waamuzi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova, ulipotoka Seiri,+

      Ulipopiga mwendo kutoka eneo la Edomu,

      Dunia ilitikisika, na mbingu zikamwaga maji,

      Naam, mawingu yakamwaga maji.

  • Zaburi 68:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ee Mungu, ulipowaongoza* watu wako,+

      Ulipopiga mwendo jangwani, (Sela)

       8 Dunia ilitetemeka;+

      Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;

      Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki