Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tazameni! Atakuja kama mawingu ya mvua,

      Na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+

      Farasi wake wanakimbia kwa kasi kuliko tai.+

      Ole wetu, kwa sababu tumeangamia!

  • Maombolezo 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Waliotufuatia walikwenda kasi kuliko tai wa angani.+

      Walitukimbiza milimani; walituvamia nyikani.

  • Ezekieli 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa, na manyoya marefu, na aliyejaa manyoya yenye rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kuchukua sehemu ya juu ya mwerezi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki