Ezekieli 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:3 Ibada Safi, uku. 85 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+