Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya hayo alijenga ukuta wa nje wa Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni,+ bondeni,* na mpaka kwenye Lango la Samaki,+ akauzungusha hadi Ofeli,+ na kuufanya uwe mrefu sana. Zaidi ya hayo, aliwaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome nchini Yuda.

  • Nehemia 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wana wa Hasenaa walijenga Lango la Samaki;+ walilitengeneza kwa mbao,+ wakaweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake.

  • Nehemia 12:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kundi la pili lililoimba nyimbo za shukrani lilitembea kuelekea kushoto,* nami nikalifuata pamoja na nusu ya watu, juu ya ukuta kwenye Mnara wa Majiko ya Kuokea+ mpaka kwenye Ukuta Mpana+ 39 na kupita juu ya Lango la Efraimu+ na juu ya Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki,+ Mnara wa Hananeli,+ Mnara wa Mea, na mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ kisha wakasimama kwenye Lango la Mlinzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki