-
Isaya 59:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Ndiyo sababu haki iko mbali sana nasi,
Na uadilifu hautufikii na kututangulia.
Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! kuna giza;
Kutumainia mwangaza, lakini tunaendelea kutembea katika utusitusi.+
10 Tunapapasa-papasa tukiutafuta ukuta kama vipofu;
Tunaendelea kupapasa-papasa kama watu wasio na macho.+
Tunajikwaa wakati wa adhuhuri kama wakati wa giza la jioni;
Miongoni mwa wenye nguvu sisi ni kama tu watu waliokufa.
-