Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo akatoka kwenda kukutana na Asa, akamwambia: “Nisikilizeni, Asa na watu wote wa Yuda na Benjamini! Yehova yuko pamoja nanyi maadamu mnaendelea kuwa pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta, atawaruhusu mumpate,+ lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+

  • Isaya 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa!

      Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,

      Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki