Malaki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mkikataa kusikiliza na kuitia moyoni mwenu ili kulitukuza jina langu,” asema Yehova wa majeshi, “nitawaletea laana,+ nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.+ Naam, nimebadili baraka ziwe laana, kwa sababu hamwitii moyoni mwenu.”
2 Mkikataa kusikiliza na kuitia moyoni mwenu ili kulitukuza jina langu,” asema Yehova wa majeshi, “nitawaletea laana,+ nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.+ Naam, nimebadili baraka ziwe laana, kwa sababu hamwitii moyoni mwenu.”