Hagai 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, bado kuna mbegu katika ghala?*+ Mzabibu, mtini, mkomamanga, na mzeituni—haijazaa matunda, au je, imezaa? Kuanzia leo nitawaletea baraka.’”+
19 Je, bado kuna mbegu katika ghala?*+ Mzabibu, mtini, mkomamanga, na mzeituni—haijazaa matunda, au je, imezaa? Kuanzia leo nitawaletea baraka.’”+