24 Siku hiyo Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na pamoja na Ashuru,+ baraka katikati ya dunia, 25 kwa maana Yehova wa majeshi atakuwa amewabariki, akisema: “Wabarikiwe watu wangu, Misri, na kazi ya mikono yangu, Ashuru, na urithi wangu, Israeli.”+