Yeremia 50:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye malisho yake,+ naye atalisha juu ya Karmeli na juu ya Bashani,+ naye atashiba kwenye milima ya Efraimu+ na ya Gileadi.’”+ Mika 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako,+Yule aliyekuwa akiishi peke yake msituni—katika shamba la matunda. Waache wale Bashani na Gileadi+ kama ilivyokuwa siku za kale.
19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye malisho yake,+ naye atalisha juu ya Karmeli na juu ya Bashani,+ naye atashiba kwenye milima ya Efraimu+ na ya Gileadi.’”+
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako,+Yule aliyekuwa akiishi peke yake msituni—katika shamba la matunda. Waache wale Bashani na Gileadi+ kama ilivyokuwa siku za kale.