Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+ Hagai 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitapindua kiti cha ufalme cha falme na kuharibu kabisa nguvu za falme za mataifa;+ nami nitayapindua magari ya vita na wale wanaoyaendesha,+ na farasi na wapanda farasi watauawa, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’”
17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+
22 Nitapindua kiti cha ufalme cha falme na kuharibu kabisa nguvu za falme za mataifa;+ nami nitayapindua magari ya vita na wale wanaoyaendesha,+ na farasi na wapanda farasi watauawa, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’”