25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.+ 26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa.