- 
	                        
            
            Malaki 1:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 “‘Mwana humheshimu baba yake,+ na mtumishi bwana wake. Basi ikiwa mimi ni baba,+ iko wapi heshima ninayostahili?+ Na ikiwa mimi ni bwana,* iko wapi hofu* ninayostahili?’ Mimi Yehova wa majeshi ninawauliza ninyi makuhani mnaolidharau jina langu.+
“‘Lakini mnauliza: “Tumelidharau jina lako kwa njia gani?”’
 
 -