Isaya 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Haitazimwa usiku wala mchana;Moshi wake utaendelea kupaa milele. Itabaki ukiwa kizazi baada ya kizazi;Hakuna yeyote atakayepita katikati yake milele na milele.+ Isaya 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Miiba itaota katika minara yake yenye ngome,Upupu na magugu yenye miiba katika ngome yake. Nchi hiyo itakuwa makao ya mbwamwitu,+Boma la mbuni.
10 Haitazimwa usiku wala mchana;Moshi wake utaendelea kupaa milele. Itabaki ukiwa kizazi baada ya kizazi;Hakuna yeyote atakayepita katikati yake milele na milele.+
13 Miiba itaota katika minara yake yenye ngome,Upupu na magugu yenye miiba katika ngome yake. Nchi hiyo itakuwa makao ya mbwamwitu,+Boma la mbuni.