Kumbukumbu la Torati 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Usipotoshe hukumu ya mkaaji mgeni au ya yatima,+ nawe hupaswi kuchukua vazi la mjane kuwa dhamana ya mkopo.*+ Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+
17 “Usipotoshe hukumu ya mkaaji mgeni au ya yatima,+ nawe hupaswi kuchukua vazi la mjane kuwa dhamana ya mkopo.*+
17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+
27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+